Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anatarajia kuingia Ndani ya Kigamboni Wiki Ijayo ya Tarehe 3.
Ambapo maandalizi kabambe na ya kutosha yanaendelea kufanywa na wana kigamboni kuweza kumpokea na kumlaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.