Wakuu kwa jinsi ninavyoijua Jamii Forums nina hakika humu siwezi kukosa wataalam wa hizi kazi,, maana nimejaribu kuwapigia Dstv hawajaweza kunisaidia,,
Sababu ya kuiondoa : kwakweli nisiwe mnafiki nachukia chochote kutoka Zanzibar
Nasubiri mrejesho wakuu,,