yanga sc vs pamba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 3 - 0 Pamba jiji FC | NBC Premier League |Benjamin Mkapa Stadium | September 24, 2025

    Tunaanza na Pamba Jiji #NBCPremierLeague 2025/26🔰 Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji Dakika ya 17 Max nzengeli anakosa goli la wazi Dakika ya 24 Yng 0-0 pmb Dakika ya 28 Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi Dakika ya 38 Yanga SC wanapata free kick ecua anapiga na kukosa Dakika ya 40...
  2. C

    Yanga wana anza walipoishia msimu wa mwaka jana. Bado tutaona mengi zaidi ya hizo card nyekundu

    Huyu jamaa wa timu ya Pamba kaitafuta card nyekundu kwa udi na uvumba. Yanga yenu ndio hiyo. Haya ngoja tuone mvua ya magoli kwa Yanga na Azizi Ki anapata hat trick Bahasha fc.
  3. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 4-0 Pamba jiji SC | NBC Premier League | Azam Complex | Octoba 03, 2024

    🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚Pamba Jiji FC 📆 03.10.2024 🏟 Azam Complex 🕖 6:30PM(EAT) Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji FC Mpira umeanza Dakika ya 5 Goal Baccaaaaaaaaaaa Dakika 7 Tunashambulia kwa kasi Dakika ya 12 Yanga SC wanapata Kona Dakika ya 14 Tunapata...
Back
Top Bottom