Klabu ya Young Africans ya Tanzania imetangaza kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz.
Katika taarifa yake ya leo Oktoba 18, 2025, mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, wametangaza kuachana na Folz huku nafasi yake ikichukuliwa na kocha msaidizi Patrick Mabedi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.