Kero yangu ni kukatika-katika kwa umeme mara kwa mara katika eneo la MATIKA, Kata ya Lugarawa, Wilaya ya LUDEWA, Mkoa wa Njombe huku wahusika wakikaa kimya bila kufanyia ufumbuzi suala hili, tunaomba TANESCO Wilaya ya LUDEWA watueleze ni lini tatizo hili litakwisha maana imekuwa ni kero kubwa...
Anonymous
Thread
inakera
ludewa
maeneo
njombe
sana
umeme
unakatika
wilayawilayayaludewa
Channel Ten- Saa 2.30 Usiku (Saa Mbili na Nusu Usiku) Leo hii Jumatano Tar 14/08/2024
Karibuni sana kutizama Makala maalum ya Maji ni Uhai- ambayo inaangaza kazi ambazo zinaendelea kufanyika katika Sekta ya Maji Wilayani Ludewa.
Karibuni mjionee kazi kubwa anayofanya Rais wa Jamhuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.