Inaonekana anatumiwa na mabeberu kukushushia credibillity kwa wanyonge.
Wewe ushafanya utafiti kabla ya maamuzi kwamba tunaweza KULIPA, KUSAFIRISHA AU KUBANGUA KOROSHO WENYEWE
Ulisema, hela tayari zipo benki ya wakulima, zishaingizwa.
Ulisema ikibidi wanjeshi hata kwa meno watabangua. Nchi...