Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Ashatu Kijaji akiwasili katika Ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma na kupokelewa na Menejimenti na watumishi wa Wizara hiyo baada ya uapisho wake tarehe 18, Novemba 2025.
Mpango wa muda mrefu ni Makonda kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.
Kupelekwa kwake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadaye “kutengenezwa” kuwa Mbunge wa Arusha haikuwa bahati mbaya.
Niwape tu taarifa Wamasai hasa wale mliokuwa mkifika kula nyama za Makonda kwenye matamasha yake: Inakuja...
Ndugu Waziri Salam,
Kuna video za jamii ya Wahadzabe zinazoishi maisha ya kijima porini, na ni jamii "duni" kulingana na mfumo wa maisha wa kisasa.
Lakini kwa bahati mbaya sana, kuna wageni wenye asili ya Asia wamekuwa waki record mtindo wao wa maisha na ku label kama Watanzania.
Ni video...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.