waziri mkuu mwingulu nchemba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya faiba TTCL haitendi haki

    Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili shirika linataka overhaul kubwa sana.
  2. JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Mwigulu: Natambua uzito wa majukumu haya na matarajio ya Watanzania, nitafanya kazi kwa bidii na uaminifu

    Baada ya kuwa Waziri Mkuu Mteuli wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Natambua uzito wa majukumu haya na matarajio ya Watanzania, na amehaidi kufanya kazi kwa bidii na uaminifu na kukidhi matarajio hayo. Soma Pia: Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…