Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili shirika linataka overhaul kubwa sana.
Baada ya kuwa Waziri Mkuu Mteuli wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Natambua uzito wa majukumu haya na matarajio ya Watanzania, na amehaidi kufanya kazi kwa bidii na uaminifu na kukidhi matarajio hayo.
Soma Pia: Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa...