Kuna kipindi Spika Ndugai iliwahi kusema mule bungeni kuna wavuta bangi balaa, na akashauri ikiwezekana hatua madhubiti zifanyike ili kunusuru ile hali. Bunge likazizima kwa makofi ikiwa ishara kuunga mkono hoja ile.
Juzi juzi, Mbunge Waitara akatoa pendekezo la kuomba ofisi ya spika ifanye...