wauzasimukariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Barakha John

    Tumia Hizi Siri 7 Kukagua Simu Ili Usitapeliwe na Kuuziwa Feki / Grade Namba 2

    Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa …. Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI. Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini unapo enda kununua simu au Laptop hasa kariakoo na wewe ni suala la muda tu kutapeliwa… Kwanini ...
  2. Barakha John

    Mambo 10 muhimu ya kufuata kabla hujanunua simu used kutoka nje (Dubai) kwenye maduka ya Tanzania

    Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia. Mpaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje… 1. Hakikisha Iko na Warranty au Dhamana Baadhi ya simu zinazotoka Dubai huuzwa bila dhamana, na huwezi kuzirudisha...
Back
Top Bottom