Mwanza. Mahakama ya Wilaya ya Ilemela imewaachia huru watuhumiwa 57 wa kesi ya uhaini waliokuwa wakishikiliwa tangu Oktoba 29, 2025 kufuatia matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi.
Uamuzi wa kufuta mashtaka hayo umetolewa leo na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Stella Kiama, katika Mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.