watu wenye uhitaji maalumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Dkt. Tulia kujenga nyumba nyingine nne kwa wahitaji wenye makazi duni Mbeya

    Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, kupitia Taasisi yake ya Tulia Trust, wamesema pamoja na kuendelea na ujenzi wa nyumba ya Mzee Obed Ambonisye, anayeishi kwenye mazingira magumu pamoja na familia yake katika Kijiji cha Matema, Wilaya ya Kyela, Mkoa...
  2. B

    Idea: Mama Samia njoo na ‘Fturu na Mama’ kwa watu wenye uhitaji

    Mko poa wakuu Nmepata wazo nimeona niwape mumpelekee mama au watu wake wa karibu.. Njooni na iftari ya FTURU NA MAMA.. Hii iwe km give back tu commonly.. Ifanyike kwny chungu cha 28 au 29. Wahusika wa iftari hii wawe watu wenye uhitaji maalumu km yatima, walemavu wasiojiweza kiuchumi, na...
  3. R

    SoC04 Umuhimu wa kuwashirikisha walemavu katika kulijenga taifa miaka mitano ijayo

    KUWAHESHIMU NA KUWALINDA WATU WALIO NA ULEMAVU KWA AJILI YA KULIJENGA TAIFA LA KESHO Tanzania tuitakayo miaka mitano ijayo. Ni pamoja na kutunga sera, sheria pamoja na kanuni kwa watu wenye ulemavu ili kuwajali, kuwalinda na kushirikiana nao katika maendeleo ya kilijenga taifa la kesho kwa...
  4. Kuna Wizara ya Afya, Wizara ya Ustawi wa Jamii, Watoto, Jinsia na Walemavu wao wanafanya kazi gani ikiwa Makonda ndio anasaidia wahitaji?

    Anajua kazi ya Wizara ya Ustawi wa Jamii,Jinsia, Walemavu na Watoto aniambie maana naona Makonda Toka akiwa Mwenezi alikuwa anafanya hii kazi. Wao wanaliowa Mishahara Kwa kaiz hizo na hawafanyi Sasa wanalipwa Kwa Ajili ya nini hasa? Yaani Wameshindwa kuratibu na kujua watu wenye uhitaji hasa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…