Great Thinkers.
RFA ilikuwa ni kisima cha kuibua vipaji mbalimbali hapa nchini, watngazajii walikuwa weledi wabunifu na wenye kuielewa taaluma yao ndo maana wakapata nafasi gadi ya kutoka hadi nje ya tanzania, ukiachilia mbali kugombaniwa na radio zingine kama tbc na radio one
Tukisema eti...
Leo nimekumbuka nyuma hapo 2005/2006 nakuendelea VIPINDI VYA RFA hakika vilikuwa ni VIPINDI vizuri sana.
Nakumbuka kulikuwa na kipindi kinaendeshwa na mwanadada ajulikanae kama Grory Robson mtoto wa mama sabuni, kulikuwa na sindano tatu za moto na Fredwaa.
Kipindi Cha search Line simkumbuki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.