WASOMI ni watu walio sitarabika WASOMI awa andiki andiki upuuzi
Mkono wa mjinga unaandika popote pale ndo walivo wasomi wa bongo mumekosa kazi basi kazi kuwa kucoment ujinga ujinga tu kwenye thead za watu wewe Kama unaona mtu kaandika ujinga wake soma Maliza pita kushoto muache aliye andika...
Sisi tusio wasomi tunashunda kuwaelewa wasomi wetu hapa Tanzania. Kuna wakati wasomi wanakubali kuwa hatuwezi kupiga hatua bila ya kukopa, na ndio maana tunailalamikia Serikali kuweka mazingira wezeshi ili tukopesheke kwenye taasisi za kifedha.
Hii yote ni kukubali kuwa huwezi kuendelea bila ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.