Waliondoka CHADEMA sasa hivi wamerejea tena….. 🤣
Baadhi ya wanachama wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ambao awali walikuwa CHADEMA wamejivua uanachama wa chama hicho kutokana na changamoto kadhaa, ikiwemo unyanyasaji dhidi ya wanawake, uongo na ahadi hewa ya kupewa mikopo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.