wanawake 100

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Samia kukosekana kwenye list ya Forbes 2025 ni madhara ya matukio ya Oktoba 29?

    Forbes wametoa tena orodha ya wanawake wenye nguvu zaidi duniani ambayo ya mwaka wa jana (2024) Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa nafasi ya 91. Lakini cha kushangaza mwaka huu amekosekana kwenye orodha hiyo huku wakionekana Wanawake wengine Wakiafrica zaidi ya nane, kama vile Rais mpya wa Namibia...
  2. PostGE2025 Rais Samia hayupo kwenye orodha ya Forbes ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani kwa mwaka 2025

    Kwa haya matukio yake na maneno yake mabaya, hafai kabisa kuwa sehemu kama hii, naona hata mwaka 2024 ni kama walimpa tu! =================== Samia hakuwemo kwenye orodha ya Forbes Rais wa Tanzania 🇹🇿, Samia Suluhu Hassan, hakuwemo kwenye orodha ya Forbes ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi...
  3. Jarida la Forbes: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jar

    Jarida la Forbes Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jarida la Forbes. Ushawishi wake katika masuala ya Diplomasia na kuwa kinara wa Nishati safi Duniani ni baadhi ya sababu, namna anavyoendesha nchi...
  4. Kati ya Wanawake 100, Wanawake 25 wana ugonjwa wa saratani Tanzania

    Na. WAF - Dar Es Salaam Serikali imetoa rai kwa jamii kuchukua hatua za mapema kupima ugonjwa wa Saratani kwa kuwa takwimu zinaonesha kuwa kati ya wanawake 100, 25 wana Ugonjwa wa Saratani huku Asilimia 70 ya Wanawake inaonesha wana ugonjwa huo. Hayo yamesemwa leo Februari 4, 2024 na...
  5. Rais Samia ni miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi Afrika

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametajwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi zaidi Barani Afrika. Rais Samia ametajwa na Jarida la Most Influecial African Women (MOAW) miongoni mwa wanawake mwenye ushawishi Barani Afrika katika kipengele cha Uongozi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…