Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wanaume tunapitia changamoto nyingi kama ilivyoandikwa, tutakula kwa jasho.
Mwanaume anapambana ili kuitunza familia yake, analipa Gharama zote za chakula, ada, matibabu, mavazi nk
Siku zinaenda watoto wanamaliza masomo wanapata kazi...