wanaowaunga mkono

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JOHNGERVAS

    Hivi kwanini wapinzani hawawasapoti wasanii wanaowaunga Mkono?

    Ni swali tu nauliza, Mara nyingi sana wapinzani wanalaumu wasanii kuwa upande wa CCM ambao ni watesi wao lakini hao wasanii ndio wanapewa attention kubwa sana wakipost chochote kwenye mitandao yao wanawapa sapoti. Ishu ni kwamba wale wasanii ambao wanawaunga Mkono mfano kina nay wa mitego...
  2. M

    GE2025 Kuna haja kuwa na vyama vyenye wagombea wanaowaunga mkono wagombea wa CCM?

    Nimeona video ya mgombea urais Zanzibar kupitia AAFP, Said Soud Said akifurahia kukabidhiwa gari na Tume ya Uchaguzi Zanzibar. Kasahau kama nae ni mgombea Urais kaanza kumnadi mgombea urais kupitia CCM. Kwa maoni yangu naona hii si aina ya ushindani ambao tunahitaji kwenye uchaguzi, ni ujinga...
Back
Top Bottom