WANAMICHEZO sita wamejitokeza kuwania urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaotarajiwa kufanyika Agosti 16, mwaka huu jijini Tanga.
Taarifa iliyotolewa muda mfupi uliopita na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Wakili Benjamin Kalume imewataja wanamichezo hao kuwa ni Ally...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.