wakristo nigeria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Nigeria: Marekani yashusha mabomu dhidi ya Boko Haram

    Kuna taarifa zinasambaa kuwa huko Nigeria kumedondoshwa mabomu kuwapa ujumbe hao wenye misimamo ya kidini nchini humo wanbaosababisha vurugu na mateso kwa waNigeria wengine wasiokubaliana na misimamo yao. Chonde chonde, maana inaonyesha Tanzania nako kumeanza kuwepo na viashiria vya msimamo...
  2. Chizi Maarifa

    Russia ipo tayari kusaidia Wakristo Nigeria dhidi ya Magaidi.

    Rais mbabe mbele ya Magaidi asiyecheka na wowote amesema ana mpango wa kuwasaidia Wakristo waliopo Nigeria kupambana na Magaidi. Tupate habari kamili.
  3. Kijakazi

    Waziri wa Vita Marekani: Wizara inajiandaa kushughulika na mauaji ya Wakristo nchini Nigeria

    Anaadika Peter Hegseth, Waziri wa Vita wa Marekani kupitia ukurasa wake wa X: "Kuua Wakristo wasio na hatia nchini Nigeria na mahali popote kunapaswa kuisha mara moja. Idara ya Vita inaandaa hatua. Ama Serikali ya Nigeria itawalinda Wakristo, ama tutawaua wanamgambo wa kiislamu wanaofanya...
  4. M

    Mauaji ya Wakristo yanayoendelea nchini Nigeria yamezua maswali kuhusu ukimya wa vyombo vya habari na umoja wa mataifa

    Kwa muda mrefu nchini Nigeria kumekuwa na vikundi vya kigaidi vinavyoua wakristo kwasababu wana dini tofauti, Hata hivyo vyombo vya habari vimekuwa kimya. kupitia mtandao huru wa X watu wengi wamekuwa wakihoji juu ya ukimya akiwemo Bondia maarufu Ryan Garcia...
Back
Top Bottom