Wanajamvi kwema?
Nadhani wote tunakumbuka tarehe 15/09/2025, taifa lilishuhudia kadhia ya aibu katika Mahakama Kuu DSM. Wanachama wa CHADEMA walipigwa na kudhalilishwa na jeshi la polisi ila mbali na hayo pia Wakili Deogratius Mahinyila (ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Vijana), akiwa kazini...
Huyu bwana mdogo alifanyiwa fujo sana, halafu ni moja ya wakili na hakuwa pale mahakamani kwa bahati mbaya!
Tunasafari ndefu sana ya kufika tunapopataka kama nchi
==============
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Wakili Deogratias Mahinyila akiwaleza wanahabari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.