wakili hekima mwasipu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PostGE2025 Wakili Mwasipu ashangazwa kesi ya kupinga uhalali wa tume ya uchunguzi matukio ya Oktoba 29 kupangwa kutajwa Februari 2026

    Wakili Hekima Mwasipu, mmoja wa Mawakili wanaowawakilisha Rosemary Mwakitwange, Wakili Deogratius Mahinyila na Wakili Edward Heche ambao ni waleta maombi kwenye kesi ya kuhoji uhalali wa Tume ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini Oktoba 29.2025 na siku zilizofuata...
  2. ChekoFagia

    PostGE2025 Wakili Mwasipu: Ombi la kufungua maombi ya msingi yamekubaliwa, maombi ya tume ya uchunguzi kusitisha shughuli zake yamekataliwa

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam imewaruhusu waleta maombi kufungua kesi ya msingi, katika shauri namba 30210/2025 linalohusu kupinga uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuteua Tume Huru ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani nchini yaliyotokea Oktoba 29...
  3. Troll JF

    PostGE2025 Wakili Hekima Mwasipu Afungua maombi Mahakama ya kisutu ili Godfrey Mwambe apelekwe mahakamani

    Ikumbukwe kuwa ndugu Godfrey Mwambe ambaye alikua waziri wa Uwekezaji anakabiriwa na makosa mbalimbali ya uhalifu na anashikiliwa kihalali katika kituo cha polisi kigamboni Leo hii ndugu Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa mahakama kuu na mahaka zilizo chini yake amefungua maombi na kushinikiza...
Back
Top Bottom