Saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Madiwani, vurugu zimetokea katika Kata la Upanda Magharibu Jijini Dar es Salaam ambapo mmoja wa Watia Nia amedaiwa kwenda kufanya vurugu kwa mpinzani wake.
Video inayosambaa Mtandaoni inamuonesha Mgombea Udiwani Khallil Karim akiwa anadaia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.