Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo wakati akizungumza na ITV amesema, Serikali ya Tanzania imesema haijawafukuza na wala haina mpango wa kuwafukuza wafanyabiashara wa nje ya nchi waliopo nchini, isipokuwa imetoa katazo kwa wafanyabiashara hao kufanya biashara ndogo ndogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.