wabunge vilaza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Knock life

    Mtu anayesema tusirudie kuchagua wabunge vilaza tena je huyu mtu anayeongea hivi na yeye ni kilaza mkubwa ambaye kaamua kujitoa ufahamu.

    Yaani kuna wanaJF ni vilaza Sana Mfano huyu jamaa anajiita Pascal Mayalla , anasema kuwa watanzania tusichague wabunge vilaza Kama ilivyokuwa 2020. Swali je mwaka 2020 sisi hao wabunge wananchi tuliwachagua au walipitishwa tu na Ccm?. Kwa kutumia Dola.?
  2. P

    PreGE2025 Zamani nilikuwa najua mpaka mtu awe mbunge anatakiwa awe na akili sana, lakini kumbe hata kenge wanaweza kuwa wabunge

    Wakuu nilipokuwa mdogo nilikuwa nawaona wabunge ni watu wa maana sana, wenye akili sana ambao mpaka wanafika bungeni basi ni vichwa kwelikweli, kuanzia darasani hadi kwenye ufahamu kwa ujumla na uwezo wao wa kupembua mambo. Aisee, kumbe hata kenge wanaweza kuwa wabunge si kwa uwezo wao wa...
Back
Top Bottom