Labda kama wao hawakuzika ndugu zao ile MO29
na itafka sku tu watatoa ya moyoni kwa yanayowakuta hasa hawa wakuu wa Mkoa ambao walikubali kutumika kuua Raia majumbani mwao!
Nategemea wabunge wapitishe samia aongezewe Miaka 20 ili iwe hakuna nywinywi wala nywinywinywi! ili akiua binadamu wenzie...
Tumeingia kwenye siasa zisizo za kisheria tena ambapo wabunge wapo kwenye uchawa ili kumfurahisha Rais wachaguliwe na Rais kurudi bungeni na sio na wananchi; wananchi wanatekwa alafu bungeni sioni kinachoendelea.
Hakuwezi kuwa na uchaguzi bila mabadiliko. Hii hali ilianza kama masihara sasa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Watanzania wanahitaji mfumo wa uchaguzi utakaoamua viongozi wao halali ambao watawajibika kwao huku akikemea vikali wabunge aliodai kuwa wamekuwa 'machawa' kwa kujipendekeza kwa Rais wa Tanzania Dkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.