Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela, Diosdado Cabello, amesema katika shambulio la Marekani lililomuondoa madarakani Rais Nicolous Maduro ilisababisha idadi ya vifo ya watu 100
Hapo awali, Caracas haikuwa imetoa idadi ya waliouawa, lakini jeshi lilichapisha orodha ya majina 23 ya wanajeshi...