vita ya israel na hamas

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. dronedrake

    Ripoti Mpya Yaonyesha Kambi 5 Za Kijeshi Nchini Israel Zilivyoshambuliwa Na Makombora Ya Balestiki Ya Iran Wakati Wa Vita

    Taarifa zilizokusanywa na Satellite kutoka chuo kikuu cha Oregon Marekani zimeonesha makombora ya Iran yalifanikiwa kupenya mifumo ya ulinzi anga ya Israel na kushambulia kambi 5 za IDF pamoja ni vituo vingine vya kijeshi chini humo Aidha utoaji wa taarifa za mashambulio ya Iran nchini Israel...
  2. Maria Nyedetse

    Nani aliyekuja na hoja ya Israel ni taifa teule la Mungu?

    Habari za Asubuhi team!! kabla ya kuanza uzi wangu naomba kuweka sawa mambo yafuatayo;- 1. Sishambulii wala kudogosha au kudhalilisha dini ya KIKIRISTO kwa sababu uzi huu unahusu purely Christian faith. 2. Lengo la mada hii ni.pure curiosity to learn 3. Nahitaji open discussion siyo jaziba...
  3. J

    Je unafikiri Elimu kama hii kwa watoto huko mashariki ya kati itawezesha kweli amani ipatikane?

  4. U

    Mabasi matatu yaliyojaa mabomu yalipuka kwa wakati mmoja Tel Aviv, yalikuwa matupu na yamelipuka kabla ya wakati

    Wadau hamjamboni nyote? Mabasi matatu yalilipuka katika mji wa Bat Yam, kusini mwa Tel Aviv, katika tukio linaloshukiwa kuwa la kigaidi. Polisi wa Israeli waliofika katika tukio hilo wameeleza kuwa kuna vifaa vilivyokuwa kwenye mabasi mawili havikulipuka. Waziri wa Usafiri, Miri Regev...
  5. W

    Uhamisho wa wakazi wa Gaza kwenda Indonesia kwa muda wapendekezwa na timu ya maridhiano ya kusitisha vita ili kuikarabati Gaza

    Timu ya maridhiano ya usitishaji wa vita imeshauri kuhamisha Wapalestina wa Gaza kwenda Indonesia kwa muda hadi Gaza itakapojengwa upya. Wazo hilo limewekwa wazi na Steve Witkoff ni mshauri wa masuala ya kimkakati katika timu ya Trump anaeshiriki katika juhudi za kutafuta suluhu la amani...
Back
Top Bottom