Taarifa zilizokusanywa na Satellite kutoka chuo kikuu cha Oregon Marekani zimeonesha makombora ya Iran yalifanikiwa kupenya mifumo ya ulinzi anga ya Israel na kushambulia kambi 5 za IDF pamoja ni vituo vingine vya kijeshi chini humo
Aidha utoaji wa taarifa za mashambulio ya Iran nchini Israel...
Habari za Asubuhi team!!
kabla ya kuanza uzi wangu naomba kuweka sawa mambo yafuatayo;-
1. Sishambulii wala kudogosha au kudhalilisha dini ya KIKIRISTO kwa sababu uzi huu unahusu purely Christian faith.
2. Lengo la mada hii ni.pure curiosity to learn
3. Nahitaji open discussion siyo jaziba...
Wadau hamjamboni nyote?
Mabasi matatu yalilipuka katika mji wa Bat Yam, kusini mwa Tel Aviv, katika tukio linaloshukiwa kuwa la kigaidi.
Polisi wa Israeli waliofika katika tukio hilo wameeleza kuwa kuna vifaa vilivyokuwa kwenye mabasi mawili havikulipuka.
Waziri wa Usafiri, Miri Regev...
Timu ya maridhiano ya usitishaji wa vita imeshauri kuhamisha Wapalestina wa Gaza kwenda Indonesia kwa muda hadi Gaza itakapojengwa upya.
Wazo hilo limewekwa wazi na Steve Witkoff ni mshauri wa masuala ya kimkakati katika timu ya Trump anaeshiriki katika juhudi za kutafuta suluhu la amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.