Ndiyo maana wamarusha penseli na vipepeo ovyo ovyo.
Huko mbele wataanza kurusha penseli na vipepeo wakiwa kwenye mahandaki maana huku nje wanakandwa kama unga wa chapati.
Na hapo Trump anasema anadipu tuuu...bado hajaweka bando awapigie.
====
U.S. Central Command said Iran “continues to...
Alireza Arafi, kiongozi wa kidini katika Baraza la Walinzi, ameteuliwa katika baraza la uongozi la Iran, chombo chenye jukumu la kutekeleza nafasi ya kiongozi mkuu hadi hapo Bunge la Wataalamu litakapomchagua kiongozi mpya.
Arafi atakuwa sehemu ya baraza la uongozi la muda akishirikiana na Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.