Hivi si ingekuwa heri tukajaribu model ya Burkina Faso ama Rwanda kuliko kuwa na kikundi cha watu ambao hawakuchaguliwa na yeyote, lakini pamoja na fadhila hiyo ya kujikuta wapo madarakani kwa bahati nasibu wamegeuka kuwa mafedhuli na mafisadi wa kukithiri?
Ndugu zetu wa “kulinda mipaka” wana...
Mwanachama wa ACT Wazalendo ambaye pia ni Waziri Kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu- Bunge, Sera, Vijana, Kazi na Ajira, Ndolezi Petro amesema wanamuunga mtu yeyote anayekuja na hoja ya mabadiliko kwa sababu viongozi wasiochaguliwa na umma huwa hawawajibiki ipasavyo.
Ndolezi ameyasema hayo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.