DAR. Mkurugenzi wetu wa Mawasiliano na Uenezi, Brenda Rupia, pamoja na Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji Leonard Magere, wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi na wametakiwa wametakiwa kuripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi kati, Dar es Salaam, kesho Julai 16, 2025.
Soma pia...