vibanda umiza vya mpira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Banda Umiza

    Wakuu, vipi biashara ya kuonyesha mpira iko na soko sana, au ndio kila mtu anamiliki Hissen na TCL 75" Kama iko na soko, wadau wanahitaji sana Kuwe na TV au Projector 📽️ ndio yenyewe!?..
  2. JamiiForums Tanzania Wapi pa kuangalia mechi kama nne Kwa pamoja hapa Dar es Salaam?

    Leo mechi ni nyingi. Za majuu uefa champions league na Africa champions league. Wapi pa kuangalia mechi kama nne Kwa pamoja hapa DAR? Bar au pub au kibanda umiza? Asante.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…