vernon fernandes

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Askofu Fernandes: Tunasimama na Serikali, mkifanya vizuri tutawabariki, mkifanya vibaya tutawakemea

    Mwenyekiti wa Umoja wa Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Dr. Vernon Fernandes, akiwa Madhabahuni mbele ya Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, amesema mara kadhaa kuwa Kanisa la Kipentekoste limekuwa likitengwa na Serikali. Hata wakialikwa kwenye vikao vingi, bado hawapewi nafasi...
  2. Waufukweni

    GE2025 Askofu Fernandes amwambia Samia wakati akiapishwa: Taifa limegawanyika na Mioyo ya Watu imejeruhiwa

    Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT) Askofu Vernon Fernandes wakati wa kuapishwa Samia huko Dodoma amesema; "Umepokea jukumu kubwa la kihistoria, Mhe. Rais Taifa limegawanyika na Mioyo ya Watu imejeruhiwa kwa namna mbalimbali, ombi langu kwako kwa niaba ya umma...
Back
Top Bottom