BIHARAMULO REAL ESTATE / INVESTMENT
Biharamulo ndio wilaya yenye miundombinu imara zaidi katika mkoa wa kagera ,inakuungamisha na Mkoa wa Geita ,Mwanza ,Uganda,Rwanda ,Burundi, Kigoma hadi DRC
ndio wilaya yenye idadi kubwa ya watu na makabila mchanganyiko
📞 +255 763 773 192
INAUZA VIWANJA...
walengwa wakiwa ni waajiriwa zaidi.
Uzeeni ni bora uwe na mzigo wa kutosha unaukata taratibu (Unaweza kuwa na vibiashara vidogo ili usikae sana ndani)
Au
ufungue biashara uwe unasubiria faida
kuwekeza tunaongelea marketing funds ama bond hasa hasa zenye free risk. Kujenga nyumba nizile za kupangisha kwaajili ya wapangaji. Nadhani kila kimoja kina faida na hasara yake.
Mfano mtu aliyejenga nyumba ya milion 50 amaweza kupokea kati ya laki 5 kwa mwezi sawa na milion 6 kwa mwaka ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.