uvunjifu wa sheria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Genius Man

    Uvunjifu wa sheria unaoendelea haukubariki utachochea maandamano mengine makubwa nchi nzima na hatutaomba ruhusa kudai hiki zetu

    Uvunjifu wa sheria unaoendelea haukubariki utachochea maandamano mengine makubwa nchi nzima na hatutaomba ruhusa kudai hiki zetu
  2. Genius Man

    Kuelekea kesho Gen z sisi ndio vyombo vya habari wenyewe kwahiyo wafungie vyombo vya habari wasifungie sisi tuta tangaza habari wenyewe

    Kuelekea kesho Gen z sisi ndio vyombo vya habari wenyewe kwahiyo wafungie vyombo vya habari wasifungie sisi tuta tangaza habari wenyewe
  3. A

    Ni kauli ngapi za Wana CCM au uvccm zinazo ongelea au kuhamasisha uvunjifu wa Sheria na hatua hazichukuliwi

    Ningependa kuwa uliza Polisiccm na Waendesha mashtaka, kuna kauli ngapi za Wana CCM na uvccm ambazo zinaingelea uvunjifu wa Amani na Sheria lakini hakuna hatua zinazo chukuliwa dhidi yao
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wakili Madeleka: Mahakama ichukue hatua dhidi ya Polisi kwa vitendo vya ukiukaji Sheria

    ‎Wakili Peter Madeleka ameiomba Mahakama kuchukua hatua kutokana na vitendo vinavyofanywa na Jeshi la Polisi kwa kufika maeneo ya mahakama, kukamata pamoja na kupiga raia na hata kumkamata Wakili Deogratius Mahinyila kwa kile alichoeleza kuwa ni kinyume cha sheria na utaratibu. ‎"Kwa siku za...
Back
Top Bottom