Ndug. Davidilevi Nestory Kindikwa
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
KWIMBA, MWANZA
Kwa
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
Viwanja vya Nanenane Nzuguni
S.L. P 2851
DODOMA.
YAH: MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHETU CHA CCM KUKOSA SIFA
Tafadhali rejea somo la hapo juu.
Mimi ni mwanachama wa Chama cha...
Polepole ameamsha hasira miongoni mwa wanaccm walio wengi. Na hivyo kupelekea vigogo 3 kujipanga kwenda mahakamani kuzuia uteuzi wa mgombea urais kwa madai kuwa mchakato haukufuata katiba, kanuni na taratibu za chama chao.
Endapo shauri hilo litafunguliwa, kuna uwezekano mkubwa CCM ikafuata...
Iwe mchakato umewahi au umechekewa tunachojua sisi waliopitishwa na Mkutano Mkuu wanafahamu kuwa Rais na Makamu wanafaa kwa takwimu zao hizí tunazozifahamu.
Kila zama na Kitabu chake. Wakati wa Nyerere tulikuwa tunapiga kura za ndio au hapana, na hakuna aliyehoji ukosekanani wa wagombea...
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.
Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato...
Wana CCM tumekaa kimya wengi wetu si kuwa tumeridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea la hasha ni kuwa hatuna la kufanya waswahili wanasema mwenye nguvu mpishe.
Nimeona umechukua hatua kwa viongozi wa Chadema na kutangaza kutotambua wajumbe wa secretariat. Nakusihi na huku kwetu CCM umulike...
Uteuzi wa mgombea mwenza taratibu zake kwa mujibu wa CCM zinajulikana.
Hayati Magufuli baada ya kupitishwa rasmi, Mgombea urais kupitia CCM, alipewa majina kadhaa ( idadi sijui) ili achague atakayesimama nae kama mgombea mwenza, akampendekeza Samia.
Magufuli kafa, SAMIA karithi urais kwa...
Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli...
Wakuu,
Huyu Nchimbi na mgombea mwenza wa Samia ni ndugu au majina tu?
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.