uteuzi wa samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. gstar

    GE2025 Kada wa CCM apinga uteuzi wa Samia kugombea urais (Barua kwa msajili wa vyama)

    Ndug. Davidilevi Nestory Kindikwa Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) KWIMBA, MWANZA Kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA Viwanja vya Nanenane Nzuguni S.L. P 2851 DODOMA. YAH: MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHETU CHA CCM KUKOSA SIFA Tafadhali rejea somo la hapo juu. Mimi ni mwanachama wa Chama cha...
  2. S

    Tetesi: Vigogo 3 wa CCM wajipanga kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya CCM

    Polepole ameamsha hasira miongoni mwa wanaccm walio wengi. Na hivyo kupelekea vigogo 3 kujipanga kwenda mahakamani kuzuia uteuzi wa mgombea urais kwa madai kuwa mchakato haukufuata katiba, kanuni na taratibu za chama chao. Endapo shauri hilo litafunguliwa, kuna uwezekano mkubwa CCM ikafuata...
  3. kavulata

    GE2025 Wanaopinga uteuzi wa Samia wataje wagombea wao ili tumpime

    Iwe mchakato umewahi au umechekewa tunachojua sisi waliopitishwa na Mkutano Mkuu wanafahamu kuwa Rais na Makamu wanafaa kwa takwimu zao hizí tunazozifahamu. Kila zama na Kitabu chake. Wakati wa Nyerere tulikuwa tunapiga kura za ndio au hapana, na hakuna aliyehoji ukosekanani wa wagombea...
  4. Dr Adam Francis

    Polepole: Agenda ya uteuzi wa Samia ni Res Judicata kwa sasa

    Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata. Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato...
  5. Lancashire

    PreGE2025 Msajili wa vyama vya siasa Mulika mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM mwaka huu una kasoro nyingi

    Wana CCM tumekaa kimya wengi wetu si kuwa tumeridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea la hasha ni kuwa hatuna la kufanya waswahili wanasema mwenye nguvu mpishe. Nimeona umechukua hatua kwa viongozi wa Chadema na kutangaza kutotambua wajumbe wa secretariat. Nakusihi na huku kwetu CCM umulike...
  6. A

    Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ulikuwa uteuzi wa Rais Samia au uteuzi wa state?

    Uteuzi wa mgombea mwenza taratibu zake kwa mujibu wa CCM zinajulikana. Hayati Magufuli baada ya kupitishwa rasmi, Mgombea urais kupitia CCM, alipewa majina kadhaa ( idadi sijui) ili achague atakayesimama nae kama mgombea mwenza, akampendekeza Samia. Magufuli kafa, SAMIA karithi urais kwa...
  7. Just Pray

    PreGE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

    Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli...
  8. Cute Wife

    Uteuzi: David Nchimbi ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya NMB Plc

    Wakuu, Huyu Nchimbi na mgombea mwenza wa Samia ni ndugu au majina tu? TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
  9. Cute Wife

    Rais Samia afanya Uteuzi, Uhamisho na Mabadiliko ya Viongozi Mbalimbali Januari 24, 2025

    Wakuu, Pia soma: Uteuzi: Rais Samia, afanya uteuzi wa Makamishna wa Jeshi la Polisi Desemba 9, 2024
Back
Top Bottom