Haya ni maelezo yangu kwa Mheshimiwa Dkt. Gwajima D kutokana na uzi wake alioundika jana unaosomeka >Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto
Kilichopelekea kuandika maoni yangu ni ile post namba #7 ya Mheshimiwa Waziri kwenye ule uzi.
Iliyosomeka > Halafu sasa mtoto...
Wakuu wasalaam..
Niko vijiji vya ndani ndani huku Ndiwili wilaya ya kilolo nimekuja kwa shughuli zangu..baridi ni kali .
Katika matembezi yangu nikakutana na watoto wadogo chini ya miaka 10 wengi ni 7 na 8 wakifanya vibarua vya kusomba mbao yaani kuzitoa msituni na kuzipeleka lilipo gari ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.