utelekezaji wa watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Manyanza

    Utelekezaji wa Watoto si tatizo la wanaume pekee – Wito kwa Waziri wa Ustawi wa Jamii Kutafakari kwa Kina

    Haya ni maelezo yangu kwa Mheshimiwa Dkt. Gwajima D kutokana na uzi wake alioundika jana unaosomeka >Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto Kilichopelekea kuandika maoni yangu ni ile post namba #7 ya Mheshimiwa Waziri kwenye ule uzi. Iliyosomeka > Halafu sasa mtoto...
  2. Mwanga Lutila

    Wanaume kama umetelekeza mtoto kijijini nenda kamchukue

    Wakuu wasalaam.. Niko vijiji vya ndani ndani huku Ndiwili wilaya ya kilolo nimekuja kwa shughuli zangu..baridi ni kali . Katika matembezi yangu nikakutana na watoto wadogo chini ya miaka 10 wengi ni 7 na 8 wakifanya vibarua vya kusomba mbao yaani kuzitoa msituni na kuzipeleka lilipo gari ili...
Back
Top Bottom