Wajinga bado wapo.
Hii ni story ya kweli kabisa nimesimuliwa na mtu maskani. Ipo hivi kuna boda boda alipigiwa simu na namba ngeni.
Namba ngeni: Xx aloo
Boda boda: Haloo niaje
Namba ngeni: Eh bhana ww ni boda boda ? Nahitaji sahani kumi za wali nipo mangamba day hapa nichukulie ukija...
Je umeshawahi kutapeliwa?
Kati ya hizi zifuatazo:-
Twambie ni aina ipi ya utapeli ambayo matapeli wengi hupenda kuitumia hapa Tanzanzia!
1) Wanaojifanya kutoa offer za vifurushi vya mitandao ya simu mtandaoni.
2) Wanaojimilikisha maeneo ambayo sio yao kisha kuyauza! (viwanja & mashamba)
3)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.