Ripoti mpya ya Baraza la Utalii Duniani (Travel & Tourism Council,WTTC) iitwayo “ Travel and Tourism: Economic Impact Research 2024,” iliyotolewa Juni 26, 2024 jijini London, UK, inaonesha Tanzania kuwa moja ya Mataifa ambayo yameendelea kunufaika kiuchumi na mageuzi makubwa yanayoendelea nchini...