Bei za mafuta zilipanda Jumatano, zikirejea kutoka viwango vya chini vya miaka minne vilivyoshuhudiwa mapema katika kipindi hicho, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza kuwa atazidisha tena ushuru dhidi ya China lakini atasitisha ongezeko la ushuru alilotangaza wiki iliyopita kwa nchi...
Wakuu,
China imetangaza ushuru wa asilimia 34 kwa bidhaa zote kutoka Marekani, ikiwa nchi ya kwanza kujibu hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kutoza ushuru mpya kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya Marekani.
China imesema ushuru huo utaanza kutekelezwa Aprili 10 na baada ya hapo...
Marekani kutoza “ushuru sawa” kuleta changamoto kubwa kwa Afrika
Hivi karibuni serikali ya Marekani ilitangaza sera mpya ya ushuru wa forodha, na kutoza viwango sawa vya ushuru wa forodha kulingana na Marekani inavyotozwa na nchi nyingine. Wachambuzi wengi wanaona kuwa sera hiyo inayoitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.