urusi

Urusi was a civitas and ancient episcopal see of the Roman province of Africa Proconsularis in present-day Tunisia.
The town flourished from 30BC until 640AD and has been tentatively identified with ruins at Henchir Soudga, (9.57727n 35.98709e) in Siliana Governorate. The ruins lie just outside the Jebel Serj National Park.

View More On Wikipedia.org
  1. Urusi yaanza kuficha ndege zake, yaziondoa Crimea baada ya mapigo

    Pale Crimea hapakaliki, milipuko ya ghafla hadi imekua kero, ndege za kivita zinalipuliwa zikiwa uwanjani, Urusi imeona isiwe tabu, yaanza kuzirejesha nyumbani..... Sikujua supapawa anaweza kuteswa kihivi na kainchi kadogo, vita kweli sio ukubwa wa nchi au wingi wa silaha.... Russia is...
  2. S

    Ikulu ya Ukraine yalalamika kuwa Urusi imeziangamiza melivita mbili za Ukraine

    Ikulu ya rais Zelensky wa Ukraine inalalamika kuwa Urusi ameziangamiza melivita mbili za jeshi la Ukraine kwa kutumia makombora ya shabaha kali yaliyorushwa toka kwenye ndegevita za Urusi. Ndege hizo zilishambulia zikiwa kwenye kijiji cha Novofedorivka huko Crimea. Mwambieni Zelensky aache...
  3. Wakati Urusi bado wanahangaika na HIMARS, sasa USA kutuma 'VAMPIRE' Ukraine

    Hii VAMPIRE ina uwezo wa kufungashwa kwenye magari ya kawaida tu na ikafanya mashambulizi makali, na haihitaji wanajeshi wengi, mwanajeshi mmoja tu ametosha kusababisha maangamizi kwa kuitumia...... The VAMPIRE system can fit in almost any pickup or vehicle with a cargo bed. (Courtesy of...
  4. Kampuni ya Total ya Ufaransa yashutumiwa kwa kusambaza mafuta ya ndege kwa jeshi la Urusi

    Waziri wa Uchukuzi wa Ufaransa alitoa wito wa kuangazia mazingira ya kashfa hiyo inayozunguka tuhuma za kampuni ya mafuta ya TotalEnergies kuisambazia Urusi mafuta kwa mahitaji ya jeshi la anga la Urusi. Tofauti na makampuni mengi makubwa ya Magharibi ambayo yameanza kufanya biashara nchini...
  5. S

    Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

    Marekani na Ukraine zinalalamika kuwa Urusi imeikatia Umeme Kyiv toka kwenye mtambo mkubwa wa nyuklia wa kufua umeme uliokuwa mali ya Ukraine kabla ya kuanza vita vya Ukraine. Mtambo huonwa nyuklia wa Zaporizhzhia ndio mtambo mkubwa zaidi kwa Ulaya nzima, na umo kwenye top 10 ya mitambo mikubwa...
  6. Urusi: Rais Putin aagiza wanajeshi wapya 137,000 kuajiriwa

    Leo Agosti 25, 2022 Putin ametia saini amri ya kuongeza ukubwa Jeshi kutoka Wanajeshi Milioni 1.9 hadi Milioni 2.04 ikiwa ni miezi 6 tangu kuanza Vita baina yake na Ukraine. Kwa mujibu wa agizo lililotolewa leo kupitia Wizara ya Sheria, ongezeko hilo linajumuisha ajira mpya za Wanajeshi 137,000...
  7. Norway yaipiku Urusi kwenye usambazaji wa gesi

    Pia yaongeza uzalishaji, yaani Urusi anatumbukia kwenye shimo la kujitakia, gesi yake atabaki nayo. Norway now supplies Europe with more natural gas than Russia does after Moscow cut flows, per Reuters. Its gas production is set to rise 8% this year, on track for a record, as Europe shuns...
  8. Wanajeshi wa Urusi wamekuwa frustrated hadi wanapiga mabomu kwenye mashamba ya ngano

    Warusi wana hasira kwa kutamaushwa na vita ambavyo vinawagharimu sana, mpaka wanapiga mabomu kwenye mashamba sasa..... Nearly 600 hectares of various sorts of grain have burned down as a result of Russian attacks in the Zaporizhzhia region on Tuesday. "During yesterday’s Russian missile...
  9. Rais Zelenskiy adai watu 22 wameuawa Ukraine katika shambulizi la Urusi

    Watu 22 wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kombora la Urusi kwenye kituo cha treni cha Ukraine. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema shambulizi hilo lilifanywa katika treni ya abiria kwenye mji mdogo wa Chaplyne ambapo mabehewa manne yaliteketea kwa moto. "Zoezi la...
  10. Siku 182 za vita: Matukio yote ndani miezi 6 ya vita ya Ukraine na Urusi

    Mnamo Februari 24, Urusi ilizindua uvamizi kamili wa Ukraine kutoka Belarusi kuelekea kaskazini, Peninsula ya Crimea iliyoambatanishwa na Urusi kuelekea kusini, na eneo lake la mashariki. Vita hiyo imeua maelfu huku mamilioni ya watu wakiyahama makazi yao na kuharibu miji kadhaa. Haya ndiyo...
  11. Urusi: Makuruta wapya kusajiliwa kuongeza nguvu jeshini

    Urusi yatoa wito makuruta(Recruits) wapya kusajiliwa kuongeza nguvu katika jeshi Makumi ya maelfu ya wanajeshi wa Urusi wameuawa au kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita, wanasema maafisa wa Magharibi Mji wa Volosovo, karibu na St Petersburg, unashamiri. Sio uchumi ni vipaza sauti. Kama miji...
  12. UNICEF: Takriban Watoto 1,000 wameuawa tangu kuanza kwa vita ya Urusi na Ukraine

    Watoto 1,000 Nchini Ukraine wameuawa au kujeruhiwa vibaya tangu kuanza kwa vita baia ya taifa hilo na Urusi, Februari 24, 2022. Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto (UNICEF) imesema ina takwimu za Watoto 972 waliouawa lakini idadi ya kweli huenda ikawa kubwa zaidi kwa kuwa...
  13. S

    Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini M-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

    Shirika la kijasusi la Urusi (FSB) limembaini raia wa Ukraine aliyetega bomu kwenye gari Urusi na kumuua binti mwanadishi wa habari aitwaye Darya Dugina. Chombo hicho cha upelelezi cha Urusi kimechapisha video iliyokusanya matukio kadhaa ikimuonesha raia wa Ukraine wa kike kwa jina la Natalya...
  14. Dennis Rodman kwenda Urusi kujaribu kumtoa Brittney Griner

    Nguli wa mchezo wa kikapu katika Ligi ya NBA, Dennis Rodman amedai ana ruhusa ya kwenda Urusi kwa ajili ya kujaribu kumtoa kifungoni nyota wa kikapu wa Marekani, Brittney Griner. Griner anatumikia kifungo cha miaka 9 gerezani Nchini Urusi kutokana na kukutwa na dawa za kulevya, mazungumzo ya...
  15. Watu 16 wafariki kwenye ajali ya Lori na Basi Urusi

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Urusi imesema takriban watu 16 wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya Lori kugongana na Basi dogo lililokuwa limesimama katika eneo la Ulyanovsk leo Jumapili Kwa mujibu wa mashahidi kuhusu chanzo cha ajali wamesema dereva wa Lori alishindwa kupunguza mwendo...
  16. 5

    Ukrain: Urusi wapoteza askari 45,200 tokea walipovamia

    From February 24 to August 21, the Armed Forces of Ukraine eliminated about 45,200 Russian invaders. This is stated in the report of the General Staff of the Armed Forces of Ukraine posted on Facebook. In particular, the Ukrainian troops destroyed 1,912 (+5 over past day) Russian tanks, 4,224...
  17. Baadhi ya wanajeshi wa Urusi wanajijeruhi kwa risasi miguuni ili waondolewe kwenye mapambano

    Imekua kawaida kila panapotokea pambano, baadhi yao kwa uwoga wa kupambana wanajipiga risasi kwenye miguu ili waondolewe kwenye vita na kulipwa. Wengi hawapigani kizalendo maana huu ugomvi hawaelewi tija yake, hawaoni sababu kwanini wafie humo. ================ A Russian paratrooper who fought...
  18. Zelensky agomea ombi la Urusi la kusitisha vita, asema hadi Warusi waondoke Ukraine

    Urusi imemtuma rais wa Uturuki aongee na Zelensky watafute mbinu za kumaliza vita, hili limemshangaza sana maana siku zote ndilo lilikua ombi lake, hususan ile siku Urusi ilikua inajaribu kuparamia Kyev kabla kuangukia pua. Asema hadi Urusi iwaondoe wanajeshi wake, ni mwendo wa mapigo tu...
  19. Nachukizwa na uongo wa mashabiki ukraine kuhusu hali ya vita vyake dhidi ya urusi

    Mashabiki wa ukraine achani uongo,zelensky anapewa dozi kutwa mara tatu licha kupewa msaada wa silaha na marekani na ulaya lakini msaada huo umeshindwa kufua daft kwa mziki mnene wa urusi
  20. Ukraine walipua makao makuu ya jeshi la wanamaji la Urusi pale Crimea - Black Sea Fleet headquarters

    Ni mwendo wa kulipua lipua hapa na pale.... A drone strike has hit Russia’s Black Sea Fleet headquarters in the Crimea, Kremlin officials have confirmed. Social media footage showed a plume of smoke arising from a location in Sevastopol on Friday evening, which is where the fleet is based...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…