Mimi sio sana shabiki wa mambo ya siasa, lakini kwa yale yanayoendelea nchini imenipasa na mimi nitoe neno kidogo.
Matokeo ya utawala wa kidikteta ni mabaya sana. CCM ni Watanzania kama sisi, lakini kwanini waone ni sawa nchi kuingia kwenye machafuko makubwa kisa tu kupenda madaraka?
Ni vyema...