unywaji pombe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Unywaji upi una hatari ndogo kila siku kidogo au Weekend kufa mtu?

    Kuna watu wawili Wa kwanza kila siku jioni lazima apige kakonyagi kadogo, almaarufu kasichana.Ni utaratibu wake tu Kabla ya kulala akiamua sometimes labda achambe koo na vi lite viwili kisha nduki home anaanza saa 2 anaondoka bar saa 4 daily Wa pili yeye Jumatatu mpaka Alhamisi hasogelei pombe...
  2. JamiiForums Tanzania Shigongo: Kwa Afrika, Tanzania tunashika nafasi ya 5 kwa kubeti Afrika, nafasi ya 3 kwa unywaji pombe

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amesema Tanzania inashika nafasi ya tano barani Afrika kwa shughuli za kubeti na nafasi ya tatu kwa unywaji wa pombe, akieleza kuwa hali hiyo si sifa nzuri kwa taifa lenye idadi kubwa ya vijana. Ameitaka Serikali kuweka mazingira yatakayowasaidia vijana...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Unywaji pombe salama na bora kiafya

    Naomba kujua unywaji pombe salama na bora kiafya ni kiwango gani kwa siku? Bia ni kiasi gani na pombe kali konyagi au K.VANY ni kiasi gani? Wadau naomba kujuzwa kiwango sahihi kwa siku.
  4. JamiiForums Tanzania Daktari: Tanzania inaongoza kwa unywaji pombe Afrika. Kwa mwaka kila Mtanzania anakunywa ndoo ndogo

    Dkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…