Tume ya Afrika kuhusu Haki za Binadamu na Watu (ACHPR), imeeleza wasiwasi wake kwa Tanzania kuhusu kukiuka haki za binadamu, hususani uzimaji wa intaneti wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 2025.
Azimio kuhusu Hali ya Haki za Binadamu katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Tuna mifano mingi duniani inaonyesha kwamba njia rahisi sana na ya kudumu yenye afya pia ni njia ya kukaa chini na kuzungumza.
Tuna mifano mingi sana ambayo inaonyesha matumizi ya nguvu licha ya kuacha maumivu na makovu na majeraha kwa pande zote ila hayazimi mawazo yanayopiganiwa.
Pia soma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.