umuhimu wa maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Sioni umuhimu wa maandamano

    Kila mtu atafute hela yake, mwanasiasa hawezi kukuletea pesa ya kula. Vijana pambaneni, mnatumiwa na wanasiasa kupigania nafasi zao
  2. JamiiForums Tanzania Kama taifa kuna umuhimu mkubwa sana wa kufanya maandamano ya amani ya kitaifa Tanzania

    ni katika kuipongeza serikali hii sikivu, kutambua, kumpongeza na kuunga mkono nia na dhamira ya dhati ya mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzanian Dr. Samia Suluhu Hassan, kwa hatua muhimu za makusudi, kimkakati katika chochea mageuzi na kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu, kijamii...
  3. JamiiForums Tanzania PreGE2025 Amos Makalla: Wakati mwingine kwenye maandamano msiende! Baada ya maandamano mnarudi nyumbani, imebadili nini? Wenyewe wanalipana posho

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania Amesema “Kama Chama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…