umilikishwaji vitega uchumi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    PreGE2025 Mohamed Ali Kawaida atoa maagizo kwa UVCCM ngazi ya mikoa na wilaya kuwa na vitega uchumi

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) ametoa maagizo kwa Viongozi wa UVCCM mikoa yote na wilaya Tanzania kuwa na vitega uchumi ili kuondoa utegemezi. Kawaida ameyasema hayo leo tarehe 24 Machi 2025 mkoani Singida alipofanya ziara ya kufungua vitega uchumi vya UVCCM ikiwemo...
  2. Bams

    Huu umilikishwaji wa vitega uchumi muhimu vya nchi kwa waarabu, ni uwekezaji au uvunaji?

    Miaka iliyopita, tukisikia wawekezaji, tunajua ni watu wenye mitaji na tekinolojia, wanakuja kujenga na kuendesha miradi yao waliyoijenga wenyewe. Lakini, kwa sasa, ghafla maana ya uwekezaji imebadilika. Hao wawekezaji wa sasa, wanakuja wanachukua rasilimali za nchi ambazo tayari zimejengwa au...
Back
Top Bottom