WOW. Mara tu mwili wa Ran Gvili ulipopatikana na ulipotambuliwa, wanajeshi wa Israeli walianza kuimba:
"Ninaamini katika kuja kwa Masihi!"
Sasa kazi tu imebaki ni kubonda magaidi wa Hamas na kuwapokonya silaha zao
Rais wa Israeli Isaac Herzog: naye leo hii kasema;
Ran Gvili, shujaa wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.