ulega avunja mkataba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Waziri Ulega avunja Mkataba wa Bil. 47 na Mkandarasi wa China kwa uzembe. Aagiza Zabuni mpya kwa Km 95.2

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza kuvunjwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara Mkoani Tanga baada ya Mkandarasi kutoka China kushindwa kutimiza masharti ya mkataba. Mkandarasi huyo, kampuni ya China Railway 15 Bureua Group anayejenga barabara ya Tanga - Pangani - Mkwaja Bagamoyo...
Back
Top Bottom