ukahaba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SoC01 Manka binti mrembo, Mzaliwa wa Machame na mkazi wa Tandale alivyobahatika kuacha ukahaba mpaka kuwa dereva Ikulu

    Kwa majina naitwa Manka, Mzaliwa wa Moshi Machame, mkazi wa Tandale Dar es salaam. Nilifanikiwa kuanza masomo yangu ya msingi Dar, na kufanikiwa kujiunga masomo ya Sekondari shule wanafunzi wenye vipaji maalumu Tabora Girls, ambapo nilisoma mpaka kidato cha nne, na kufanikiwa pia kuendelea na...
  2. Neno 'kudanga' linatumika kuhalalisha ukahaba, ni kujiuza tu tusichekelee huku jamii ikiharibikiwa

    Ndugu zangu! Jamii inahitaji kuamshwa kwa kuambiwa ukweli. Waharifu nao hawajabatizwa, kila siku wapo kazini kubuni mbinu mpya za uharibifu. Sijui limetokea wapi, wala sijui kama ni kiswahili sanifu. Kudanga limeshika kasi mno, na limekuwa rahisi kutumika na rika zote bila ukakasi. Lakini...
  3. Utafiti binafsi: Wilaya za Dar zinazoongoza kwa Ukahaba

    Kwanza kabisa nikianza na. 1: TEMEKE-malaya wa hii wilaya kifup hawana akili hata kwa mihogo ya jero anaeza vua chup** wapo ambao hawana akili wao wako cheap hata kwa buku mbili wao ni kiguru juu ila sio wasafi kivileee 2: KINONDONI-hawa wengi wao ni wanachuo wanajikuta ni expensive sana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…