Uhaini ni kitendo cha mtu mmoja au kundi la watu:
1. Kusababisha madhara makubwa kwa taifa, kwa mfano: kushirikiana na adui wakati wa vita.
2. Kujaribu kuipindua serikali iliyoko madarakani, iwe kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi au ya kisiasa.
3. Kuhatarisha usalama wa taifa, kwa mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.